GEORGE KABADI: Siasa zinabadilika sana Leo kumnadi Freeman Mbowe imekuwa ngumu hii ni sawa na kunadi nyama ya kitimoto Visiwani Zanzibar Mchana.

View attachment 3186201

Huyu ni Kada maarufu wa CHADEMA na mtu wa karibu wa Freeman Mbowe kwa miaka mingi anaandika haya,

"Siasa zinabadilika sana Leo kumnadi Freeman Mbowe ni sawa na kunadi nyama ya kitimoto Visiwani Zanzibar "
Ila anaweza kuwa na maoni fulani, na si lazima kusema hivyo iwe ndiyo ukweli. Anybody can say anything about anything.
 
Ndiyo nakwambia endeleeni kumjaza upepo yaani muda huu mngeutumia kumwambia ukweli kwamba uchaguzi mbele yake ni mgumu sana kuliko haya mnayoyaandika ambayo kiuhakisia hayampa kichwa.
FUSO bhana...

Yaani unajikaza kweli kuandika/kusema huku hofu na mashaka vikiwa vimekukaba koo kwa kuwa unajua fika kuwa, mwamba ni nyama iliyokwisha oza na kunuka....!!

Jiandae kuongozwa na Tundu Lissu, Mwenyekiti wako CHADEMA Taifa. La hutaki, wewe na huyo Mbowe wenu tokeni mazima muende kuwa wanachama wa kinyesi kinukacho kinachoitwa CCM muiache CHADEMA yetu...!!

Mmetuchosha...
 
Kwa hiki kinachomtokea Mbowe wala simuonei huruma. Matusi ndio agenda namba moja ya Chadema na Mbowe aliilea wakati Wana Chadema wanawatukana wengine. Leo mmemgeukia mwenyewe! Kazanane kumtukana, wakati huo Lissu awe anajiandaa! Ahahahahaha!!!
Wenye matusi ni hawa hapa, CCM wenzako...

View: https://youtu.be/gU29hxl-e9Y?si=hehTbCgqL-h1V_uc
Kweli msukuma m-CCM mwenzako anaweza kumtukana mzee Edward Lowassa kuwa "anajinyea..?"

That's too bad..
 
View attachment 3186201

Huyu ni Kada maarufu wa CHADEMA na mtu wa karibu wa Freeman Mbowe kwa miaka mingi anaandika haya,

"Siasa zinabadilika sana Leo kumnadi Freeman Mbowe ni sawa na kunadi nyama ya kitimoto Visiwani Zanzibar "
Mbowe amechokwa, alipaswa kusoma alama za nyakati mapema.
Miaka 21 ni mingi mno na kuendelea kuongoza maana yake chama ni saccos yake na familia yake
 
M
Ndiyo nakwambia endeleeni kumjaza upepo yaani muda huu mngeutumia kumwambia ukweli kwamba uchaguzi mbele yake ni mgumu sana kuliko haya mnayoyaandika ambayo kiuhakisia hayampa kichwa.
Mbowe alishachokwa, nyie wapambe wake mlipaswa kumwambia ukweli.
Kwa sasa haaminiki tena na akiachwa atakiua chama na kitakuwa kama CUF au UDP.
 
View attachment 3186201

Huyu ni Kada maarufu wa CHADEMA na mtu wa karibu wa Freeman Mbowe kwa miaka mingi anaandika haya,

"Siasa zinabadilika sana Leo kumnadi Freeman Mbowe ni sawa na kunadi nyama ya kitimoto Visiwani Zanzibar "
Watu wamechoka na maisha, uonevu, kunyimwa haki, rushwa na mengineyo. Nakuhakikishia hata Lissu akiharibu pamoja na risasi zake mwilini, wanyonge watamgeuka chap kwa haraka.
 
View attachment 3186201

Huyu ni Kada maarufu wa CHADEMA na mtu wa karibu wa Freeman Mbowe kwa miaka mingi anaandika haya,

"Siasa zinabadilika sana Leo kumnadi Freeman Mbowe ni sawa na kunadi nyama ya kitimoto Visiwani Zanzibar "
Kila mtu anajua, Mbowe anavuta mkwanja kutoka kwa Samia. Asiyejua basi ana shida ya ufikiri. HAAMINIKI TENA JAMBAZI HILO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…