Pre GE2025 George Sanga, wenzake wawili wapokelewa kishujaa na shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA

Pre GE2025 George Sanga, wenzake wawili wapokelewa kishujaa na shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela walivyopokelewa kwa shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Mlimani City Dar Es Salaam.

IMG_2670.jpeg
Wote watatu kwa pamoja walikuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kwa vyuo vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa. Hivyo walikuwa wakishikiliwa gerezani kuanzia mwaka 2020 na kuachiwa mwaka huu 2024.


Pia, Soma:
 
Makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela walivyopokelewa kwa shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Mlimani City Dar Es Salaam.

Wote watatu kwa pamoja walikuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kwa vyuo vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa. Hivyo walikuwa wakishikiliwa gerezani kuanzia mwaka 2020 na kuachiwa mwaka huu 2024.
Tutaambiwa ni matunda ya maridhiano
 
Duuh hizi siasa zinatisha
 
..kuna makada 400+ wa Chadema walikuwa magereza kwa kipindi kirefu.

..makada hao wanatakiwa wajulikane, na watambuliwe, kama mashujaa wa Chadema.
 
George Sanga na Wenzake waliobambikwa Kesi ya uongo ya Mauaji na utawala katili wa awamu ya 5, ni miongoni mwa maelfu ya Wanachama wa Chadema waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Chama hicho, Mlimani City, DSM.

Hawa hapa

Screenshot_2025-01-21-22-44-43-1.png


Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Aliyewabambikia kapukutika lakini wao bado wapo hai.

Hakika Mungu Fundi.
 
Makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela walivyopokelewa kwa shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Mlimani City Dar Es Salaam.
View attachment 3209333
Wote watatu kwa pamoja walikuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kwa vyuo vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa. Hivyo walikuwa wakishikiliwa gerezani kuanzia mwaka 2020 na kuachiwa mwaka huu 2024.
View attachment 3209330

Pia, Soma:

Mahakama Kuu yamwachia huru George Sanga na Wenzake wawili, Kada wa CHADEMA walishikiliwa kwa miaka 5 gerezani kwa tuhuma za mauaji

Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama
Safi sana!
 
Back
Top Bottom