Habari wadau,
Katika vijana wakubwa sana kuzaliwa Africa. Diamond huwezi muweka pembeni.
According to forbes George weah ndio most famous african son kuliko wote.. baada ya Nelson Mandela ambaye alitingisha sana akiwa mzee ila George Weah wanamuita most famous African son sababu alitingisha dunia kwa age ya son wazazi wake wakiwa hai.
Kwa kuongezea katika raia wote waliowahi zaliwa ardhi yetu ambao ni wa kiume, Diamond Plutnumz ndio most famous tanzanian son.
Kama unapinga unaruhusiwa ila upinge kwa hoja nani ni famous Tanzanian son kuliko Diamond na kwa kitu gani.
Katika vijana wakubwa sana kuzaliwa Africa. Diamond huwezi muweka pembeni.
According to forbes George weah ndio most famous african son kuliko wote.. baada ya Nelson Mandela ambaye alitingisha sana akiwa mzee ila George Weah wanamuita most famous African son sababu alitingisha dunia kwa age ya son wazazi wake wakiwa hai.
Kwa kuongezea katika raia wote waliowahi zaliwa ardhi yetu ambao ni wa kiume, Diamond Plutnumz ndio most famous tanzanian son.
Kama unapinga unaruhusiwa ila upinge kwa hoja nani ni famous Tanzanian son kuliko Diamond na kwa kitu gani.