GERALD MAYO VS SHETANI NA STAFF WAKE

Yurayezekiel

Member
Joined
Dec 3, 2018
Posts
81
Reaction score
60
Mwaka 1971, Mfungwa Gerald mayo alifungua kesi dhidi ya shetani na watumishi wake. Kesi yenye jina Gerald mayo v satani and his staff, na namba 54 F.R.D 282 (w.d.p.a1971). Mlalamikaji alikuwa anamshtaki shetani kwa kuweka vikwazo vingi katika maisha yake na kumsababishia maisha magumu.

Jaji alifuta kesi hiyo kwa kusema kuwa mshtakiwa sio raia wa marekani na hapatikani nchini humo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbavu zangu heheheheee
 
Haha haaa haa ... aisee haaaa haaaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…