Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Hivi Amepotelea wapi Habibu?Alikuwaga anatuweka roho juu na story zake tamu.....utasikia tutaendelea jumatano saa mbili usiku!daaah hapo ndio jumamosi!ikifika jtano saa mbili hamna kitu watu haaaaaaa!
 
Hivi Amepotelea wapi Habibu?Alikuwaga anatuweka roho juu na story zake tamu.....utasikia tutaendelea jumatano saa mbili usiku!daaah hapo ndio jumamosi!ikifika jtano saa mbili hamna kitu watu haaaaaaa!
jamaa anajua
 
kuna muda nahisi aina ya uandishi wake utakuwa unavuta vipepeo weusi wengi kumuelekea,au system imem recruit kama think tank maana anapotential kubwa
Inawezekana eeh?Basi iwe kheri kwake.
 

ok inaweza kua mbinu ya kumfanya awe invisible lakn kutokana na story teller umo ilikua inakadiliwa kuna watu kuanzia 22.. pia watu walio resist apo ni kama watatu kwa mtazamo wa kawaida Osama na IQ yake asinge kua na akili kama izo just think zen kuficha sura na DNA ndo mshangao zaid pia kuna Dr marekan aliomba achukue sample za DNA kama ni osama kweli ikawa shida...think beyond the wall...
 
Huyo Dr. Ana nafasi gani hapo usa mpaka aombe DNA ya usama, na alikuwa anataka kumprove Nani mpaka aombe DNA?
 
,rikiboy soma hyo mpwa ndio utajua Osama alivyodakwa
 
 
Huyu mwandishi ni noma sana. Najiuliza kwanini film producers wetu wanaacha kununua copyrights za vitabu vya waandishi wa nyumbani na kuadapt kama blockbusters badala ya kila siku "tajiri kamua masikini." I guess I'll never know.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…