Gerd

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
973
Wanabodi
Nimekuwa nikisumbuliwa na maamivu ya tumbo, linawaka moto kwa upande wa juu karibu na kifua, nimeenda hsptl ya muhimbili nikafanya kipimo cha endoscopy, nikagundulika na ugonjwa wa GERD, nimepewa dawa lakini hadi leo sijapata ahueni, kwa mwenye kujua utatuzi wa ugonjwa huu please anisaidie, simu yangu ni 0685100909
 
Kuna uwezekano ikawa Gastritis
Tumia maziwa zaidi. achana na vyakula vyenye acidic nyingi kama maharagwe, chai, pilipili n.k. usikae muda mrefu >4hrs ukiwa na njaa.

Muone doctor kwa ajili ka kuandikiwa dawa kama Mucogel, Omeprazole na Clarithromycine.

Good Luck
 
Hapana ndugu yangu sio gastritis, ni GERD (Gastroeasophagous reflux disease), ni acid inapanda juu kifuani ndo inakuwa kama inaniunguza, kwa mwenye kujua dawa ambayo naweza kupata relief anisaidie coz maumivu ninayopata ni makali sana
 
Wanabodi nisaidieni ndugu zangu, Dr MziziMkavu uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…