Gereji gani nzuri mbeya kwa service ya magari ya Ulaya

Gereji gani nzuri mbeya kwa service ya magari ya Ulaya

Meja M

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
628
Reaction score
560
Wakuu hanarini za asubuhi, natumai mmeamka salama. Naomba kujuzwa nahitaji kufanya service ya kawaida kwa gari ya ulaya, gereji gani nzuri Mbeya yenye utaalam wa gari hizi?

Asanteni.
 
Wakuu hanarini za asubuhi, natumai mmeamka salama. Naomba kujuzwa nahitaji kufanya service ya kawaida kwa gari ya ulaya, gereji gani nzuri Mbeya yenye utaalam wa gari hizi?

Asanteni.
Ni R/R ?

Pale soweto naona pako vizuri, kuna mafundi wengi wazuri .
Au labda kwa dealer kabisa
 
Ni R/R ?

Pale soweto naona pako vizuri, kuna mafundi wengi wazuri .
Au labda kwa dealer kabisa

Pale kuna garage inaitwa Evolution nadhan ndo hii unaisema mkuu
 
At your Own Risk, Mbeya Mafundi wapo lkn sio wa kufix kila kitu, sasa angalia kwanza tatizo la gari lako. Kama unaweza sogea nalo tu Dar au tafuta fundi Dar mlipie nauli aje Mbeya kutengeneza. Hayo Magari hayataki Ramli.
 
Nakumbuka nshawahi kusafiri na jamaa alikua anapeleka gari yake Dar kufanya service kutoka Mbeya
 
At your Own Risk, Mbeya Mafundi wapo lkn sio wa kufix kila kitu, sasa angalia kwanza tatizo la gari lako. Kama unaweza sogea nalo tu Dar au tafuta fundi Dar mlipie nauli aje Mbeya kutengeneza. Hayo Magari hayataki Ramli.

hii muhimu chifu
 
Back
Top Bottom