Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Hahahahahaha lazima achezee ukuni!Hivi na hilo tako kweli mnategemea nini?
Kutesa kwa zamu.duuuh, msihukumu nanyi mtahukumiaaaa
anyway yapo mengi ya kujifunza
Tuliaaaaa mtoto mdogooooooooooooooooooo!!!Juzi tu umetoka jela ,umeanza kujisahau .angalia utarudi Tena kwa Mara nyingine!! halafu unashangaa mala analamba uteuzi !!!
Sasa unataka watetea wauza unga kama nseboWahenga walisema "hakuna marefu yasiyo na ncha" hatimaye mfalme amekua mtumwa mwenye hofu na wasiwasi. Toka asubuhi nimekua nawaza ngome/gereza lipi litamfaa huyu bwana Paul Bashite jibu ni gereza la Maweni Tanga akienda Ukonga pia sawa atakutana na kina Nsembo na wahanga wake wengi watalipa kisasi. Ni hayo tu wana jukwaa "malaika wataishi kama mashetani tumekwisha" N:B Sabaya msalimie Mwakihaba na Tundu masterz!
Lipo kule Sana'a, Yemen au sio hilo?! Lile nililomuona correctional officer mnoko Bradley Berrick anachechemea na boxer yake na kufuraia kula nyama ya panya? Kuna Rochero na Scofield, Tbag ndani ila mwamba poa sana Ferdinando Sucre ana assist breakout from outsideYampasa apelekwe gereza la SONA
Yaaap kama lile walilo igiza ndo linamfaa ale panya, na maji kisodaLipo kule Sana'a, Yemen au sio hilo?! Lile nililomuona correctional officer mnoko Bradley Berrick anachechemea na boxer yake na kufuraia kula nyama ya panya? Kuna Rochero na Scofield, Tbag ndani ila mwamba poa sana Ferdinando Sucre ana assist breakout from outside