German Shepherd Pure breeds For Sale

fecc

Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
72
Reaction score
16
SOLD
 

Attachments

  • 6.jpg
    62 KB · Views: 127
Ndugu, Ukishaweka tangazo JF ni vizuri ukaamua kuwa muwazi kwa bei na kila kitu. Hakuna biashara ya uchawi hapa ambayo ni yule anayeloga tu anajua mbinu anazotumia. Kumbuka tunaishi kwenye zama gani. Kumbuka unatafuta soko na siku hizi ni soko huria. Mtu ana hiyari ya kununua au kutokununua toka kwako. Unapoweka mlolongo mrefu wa kutaka kujua nani yuko serious nani hayuko serious hii ni biashara kweli? Unaficha nini? Kama umeamua kuingia kwenye soko huria weka mambo wazi kila mtu ajue na aamue based on knowledge. Hujui unajizuilia wateja wangapi kwa kuweka mambo sirini! Ni ushauri tu
 
samahani mkuu,bei ilikuwa laki 6
 

Attachments

  • 1420781983706.jpg
    10 KB · Views: 72
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…