Germans create 15,000 jobs in Tanzania

Hao Siemens na BASF ni ma giant haswaaaa. Sasa hawa wanakujaje bila ya Magu kuruka hewani kama mwewe kama Uhuru, kusaka deal kali kali? Mwenye jibu anisaidie..

Huo mradi wa fertiliser unacheleweshwa ili kulinda maslahi mapana ya nchi no kukurupuka baadae mna anza kutia huruma kama jamaa ambae ame omba apewe vitu vya bure baada ya kukurupuka na kuchezea za uso.
 
Funny how you keep trying to convince members here that you are Kenyan. While everyone knows you aren't. Anyways, good luck. You'll need it.
 
Ahaaa haaa haaa
hizo ndiyo dili kali kali.
Teh teh teh tihiii
 
Mi sijaelewa kichwa cha Habari kina GERMANS main bode kuna Kenya,China na Cuba
Kiingereza ni changamoto ama vipi?
Habari ni hii: Wajerumani wamewekeza Tanzania na kuajiri 15000 Tanzanians.
Kenya hali ni tofauti - Serikali imetengeza kazi kwa 5000 chinese kwa shirika la Sgr..Na kuongeza, Madaktari wa cuba mia moja wamepewa kazi huku madaktari wa kenya wakiwachwa bila kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…