Germany vs France: EURO 2016 Semi-final (LIVE Updates)

Namna gani Muller hapa anakosa goli la wazi kabisa.
 
Kimsingi bado Germany wapo vizuri tu
[emoji4][emoji4][emoji4]

 
Dakika ya 20 inakwenda. Mambo bado ni
 
Duh, kona ya kwanza haijazaa matunda [emoji20]
 
Makipa leo wanayo kazi haswa. Ila wote wazuri

 
Reactions: BAK
game ya mwendokasi mpaka raha
 
Kuna uwezekano mechi ya leo ikaamuliwa kwa matuta na France watashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…