Germany vs France: Nini maoni yako mwanamichezo

Status
Not open for further replies.

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Leoo tunaelekea kuangalia timu moja itakayoungana NA ureno kuelekea final za euro 2016

Wapo wenyemawazo mbalimbali kama mwanamichezo nn maoni yakoooooooo
 
rekodi zinawabeba germans japo france wana kikos kizuri kwa mchezaji mmojammoja.
all in all german is tournament team.watapita
 
Hii game ni ngumu ku-predict tusu iri dk 90 za mchezo tu
 
Maoni yangu Ujerumani itaifunga Ufaransa mbele ya mashabiki wake kisha kutinga fainali then kuifunga tena ureno na kurudi Berlin na kombe ni hayo tu kwa sasa mkuu Pdidy
 
Maoni yangu Ujerumani itaifunga Ufaransa mbele ya mashabiki wake kisha kutinga fainali then kuifunga tena ureno na kurudi Berlin na kombe ni hayo tu kwa sasa mkuu Pdidy
 
Katika mchezo utakao pigwa leo Stade Velodrome saa nne usiku baina ya France na Germany je kuna uwezekano wa match hii kutoa goal to goal yaani kila mmoja kuona nyavu ya mwenzie?Mawazo yenu wadau wa soka
 
waFaransa wakaumuulize Brazil vipi hawa jamaa ???
natamani wafungwe ndani ya uwa wao(uwanjani kwao) 7
 
Nikonyuma YAKO sily pa1
 
jamani game ni muda gani kwa East Africa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…