Maoni yangu Ujerumani itaifunga Ufaransa mbele ya mashabiki wake kisha kutinga fainali then kuifunga tena ureno na kurudi Berlin na kombe ni hayo tu kwa sasa mkuu Pdidy
Maoni yangu Ujerumani itaifunga Ufaransa mbele ya mashabiki wake kisha kutinga fainali then kuifunga tena ureno na kurudi Berlin na kombe ni hayo tu kwa sasa mkuu Pdidy
Katika mchezo utakao pigwa leo Stade Velodrome saa nne usiku baina ya France na Germany je kuna uwezekano wa match hii kutoa goal to goal yaani kila mmoja kuona nyavu ya mwenzie?Mawazo yenu wadau wa soka