Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Labda anaogopa akienda mahakamani mshitakiwa atataka mwamba apimwe king'amuzi kama kipo sawa sasa hapo ndio balaa litakapokuja maana kesi atashindwa na sisi tutasema kumbe Cyprian alisema kweli

Kama haogopi hayo ushauri wako ni mzuri sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu dogo ana shida kubwa sana...mwanaume unafugaje kucha hivyo....na kuzichonga?
Mungu aniepushie mbali kuwa na mtoto wa namna hii maana nitamfanya kitu mbaya sana aisee...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Duuuh makubwaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hateuliki sasa anaanza kutumia gia za kipuuzi, pambana na hali yako mtoto wa watu aka mchele mchele ama bumunda
 
Shoga unaombwaje msamaha badala ya kukemewa? Tell us!
 
mkuu huyu ni chakula toka zamani
 
ko kumbe jamaa alikuwa ananafkia kupinga ushoga dar, kumbe na yeye anatafunwa.

kuna wanasiasa mashuhuri walikuwa wanamla nini? nalo jamaa likajilegeza, au ni wahuni wa kitaa?
Kina riz..Mtoto wa mzee six, na waterzoo washafukua sana mfereji wa bashite, sahv anazururaga na martin kadinda
 
Kina riz..Mtoto wa mzee six, na waterzoo washafukua sana mfereji wa bashite, sahv anazururaga na martin kadinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman khaaah, umemsahau mtu m1 kumtaja ktk list.
 
Nenda mahakamani kawashitaki hao wanaokuchafulia jina.
 
Ila naomba kuuliza, huwa mnapata faida gani kunyoa ndevu kwa staili ya kuzikwangua namna hiyo hadi kidevu chote kinabali kipara, why mnachukia ndevu kiasi hicho?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman khaaah, umemsahau mtu m1 kumtaja ktk list.
Ila eti cocastic haya ni ya kweli au wanamsingizia bashite kisa alikuwa mkali? au labda kuna evidence walishamkamata akiwa anafukuliwa mtaro?
 
Yaani katika kutaka uombwe radhi ndo unathibitisha kuwa kilichosemwa ni kweli. Kwa nini mnapenda kujitangaza nyie watu? Naona sasa mnachomoka mafichoni kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…