Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.
Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.
Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.