Gerson Msigwa: Hayati Rais Magufuli asipolala, hamlali

Kinuju

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
2,386
Reaction score
5,325
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.

Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.


 
Kwa hiyo alikuwa hajui faida ya kulala?

Kuna wakati mtu anaweza kufikiri anamsifia mtu kumbe ana muanika kuwa hakuwa na mipango na hajui kanuni za afya.

Ukikosa kupumzika hata dish lazima licheze, jee ndio maana lilicheza?
 
Binadamu yeyote akisikia usingizi analala, mimi sijaona ajabu lolote hapo. Vp amesemaje kuhusu kama ukimkosoa anakufanyaje! Au hili hajalisema....
Huja connect dots tu!!! jiwe alikuwa anawatania ila wao hawamtanii, hata kumkosoa huwezi kama kumtania tu huwezi
all in all,jiwe alikuwa jiwe kweli kweli.
 
Kwa hiyo alikuwa hajui faida ya kulala?
Kuna wakati mtu anaweza kufikiri anamsifia mtu kumbe ana muanika kuwa hakuwa na mipango na hajui kanuni za afya.
Ukikosa kupumzika hata dish lazima licheze, jee ndio maana lilicheza?
Gaidi analala?
 
Lakini kufuatana na hali ya afya yake, alistahili kupata muda wa kutosha wa kupumzika.

Wasaidizi wake, huku wakijua hali yake ya afya, hili la kutopumzika, hawakustahili kujisifia. Walishindwa kumlinda boss wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…