Sasa nimeamini kuwa JPM alikuwa na tatizo la akili. Mtu kukosa usingizi ni dalili mojawapo ya tatizo la kisaikolojia. Sasa mngekuwa mnampa Temesta. Hapo lazima alale. Atake asitake.
Huenda sasa taratibu Watanzania tunaanza Kuambiwa ukweli wa sababu ya Kifo chake cha ghafla.
Kwani hata tu Kiafya na Kisaikolojia tu Binadamu asipopata muda mzuri wa Kulala, kufanya Kazi mno si tu anaanza Kuugua Uwendawazimu bali hata mfumo mzima wa Afya ya Mwili wake pia anauharibu.
Kisha unaanza kukaribisha au kuyaibua Magonjwa mengine hatimaye unakimbizwa Mzena Hospital Makumbusho Mkoani Dar es Salaam na kwenda Kulazwa Kimoja ( mazima ) Mkoani Geita.
Tumia akili kidogo kusoma nini ameandika Msigwa na hali halisi.wengine mnalala baada tu ya kushiba.wengine sababu ya majukumu usingizi unakatika.
Tumia akili kidogo kusoma nini ameandika Msigwa na hali halisi.
Kwa taarifa yako mtu mwenye power ya maamuzi kama Rais ni muhimu sana kufuata ratiba ya kupimzika.
Na kukosa usingizi ni aina fulani ya kichaa, nimemkumbuka Diallo katika hili
Hata Mandela wale makaburu walimuita gaidi na kumfunga lakini baadae uwepo wa Mandela ndio ulisababisha wanaishi mpaka leo.amini pia mbowe ni gaidi.
au vipi.
Ikulu ni Kozi ya Jeshi? Huna Akili nitokee!acha wenge wewe.
keshini watu hawalali wiki 6 na hakuna maajabu.
ijekuwa huyu anayesinzia akitaka!!!
Haya sasa kalala. Mbona na yeye halali?Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.
Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.View attachment 1981189
Kwahiyo Bi Janeth alikuwa hapati haki zake za msingi?
Mabaharia tumieni fursa hii, kuna kibarua pale cha kupiga deki.
Hata Mandela wale makaburu walimuita gaidi na kumfunga lakini baadae uwepo wa Mandela ndio ulisababisha wanaishi mpaka leo.
Bila Mandela, uwezekano wa makaburu kuchinjwa wote na kufutika kule SA ulikuwa mkubwa sana.
Subirini wana ccm, kuna siku mtamlilia Mbowe awaombee kwa wananchi wawaonee huruma wasiwaadhibu
Ikulu ni Kozi ya Jeshi? Huna Akili nitokee!
Kukosa usingizi kwa kiongozi wa familia linapaswa kuwa jambo la muda tuu hasa kama kuna jambo limekitokeza linahitaki utatuzi wa dharula.acha upumbavu mkuu,una umri mkubwa kuliko urefu ulio nao.
ukiwa kiongozi hata wa familia kuna ainayokutizama utaelewa kwanini tais anakosa usingizi,vinginevyo endelea na chiki zako za kindezi.
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.
Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.View attachment 1981189
Linakosa usingizi, kisha anakuja amevurugwa na kutoa maamuzi ya hovyo na yenye kisirani na chuki juu.Alikuwa anakesha kuligharimu taifa raisi wa hovyo sana
Msigwa atueleze kwamba je hana familia? Na je mkurugenzi wa mawasiliano ikulu naye anaishi ikulu?Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.
Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.View attachment 1981189
Kukosa usingizi kwa kiongozi wa familia linapaswa kuwa jambo la muda tuu hasa kama kuna jambo limekitokeza linahitaki utatuzi wa dharula.
Lakini eti kukosa usingizi kuwa ni sifa ya kiongozi basi ujue kuna kasoro na lazima maamuzi ya kiongozi huyo yatakuwa ya hovyo
Linakosa usingizi, kisha anakuja amevurugwa na kutoa maamuzi ya hovyo na yenye kisirani na chuki juu.
2015 to 2021 March taifa lilipoteza uelekeo
Wewe akili huna mtu wa mashambani, tuliopo mjini tunawajuwa hao ndio wanawaonga watoto wadogo mpaka magari vumbi la congo likiwakolea.masikini hiki ndio kipaumbele chake.
mama ni mtu mzima sasa 50+ huo muda wa kuendelea kukumbuka mpini muda wote kaachia vigori kama wewe.
Gaidi Mbowe ana power ya nini ?Tumia akili kidogo kusoma nini ameandika Msigwa na hali halisi.
Kwa taarifa yako mtu mwenye power ya maamuzi kama Rais ni muhimu sana kufuata ratiba ya kupimzika.
Na kukosa usingizi ni aina fulani ya kichaa, nimemkumbuka Diallo katika hili