Gerson Msigwa, mashaka yangu ni kuwa dola laki moja ni sawa na Shilingi trilion 2.3

Gerson Msigwa, mashaka yangu ni kuwa dola laki moja ni sawa na Shilingi trilion 2.3

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Akizungumza na wanahabari amesema serikali imesaini na kutoa lesi mbili, moja huko Songwe na nyingine Mwanza. Hizi ni leseni za uchimbaji wa madini.

Najiuliza kwanini migodi hii miwili iliyokatika maeneo tofauti gharama au thamani zake zifanane ambazo anadai ni trilioni 2.3 au dola laki moja.

Swali la ufikirishi, dola laki moja ni sawa na trilioni 2.3?

Tunaupiga mwingi
 
Dola laki moja ni million 231.

Bila shaka ameteleza hapa 231000000.
 
Back
Top Bottom