Gerson Msigwa na Precision Air

Gerson Msigwa na Precision Air

Tengeneza Njia

Senior Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
121
Reaction score
205
Msemaji wa Serikali - Kama cheo kinavyoonyesha uzito wake. Bora leo usingeisemea tu hii serikali ukalala au ukaenda zako Barra Beach kula prawns.

Umeshindwa kujisikiliza mwenyewe kwanza chumbani kwenye kioo na kufanyia majaribio hiki ulichokisema kwa wananchi juu ya ajali kubwa kama hii na kujua kwamba kusema uozo kama "helikopta zilizonunuliwa na serikali si za kunyanyulia ndege". Dharura? Kijiki, uma na kisu kikikosekana mezani hutatumia mikono kula?

Ingekuwa nchi za wenzetu wanaojua kuwa uongozi ni dhamana kwa kukubali uzembe uliofanyika katika hili hata viongzi wangeachina madaraka na kuwapisha wengine - huo ndo uzalendo wenyewe!

Dah, mnatusikitisha sana!
 
Tanzania kwa huyo bwana imepatikana afadhali hata yule wa kipindi cha jiwe alikua ana kauwezo kidogo hata cha kuongopa na watu wakamwelewa, huyo msigwa ni mzigo kuliko mizigo mingine anajikuta ana akili kumbe takataka tu, nashangaa kwanini kwanza bado yuko serikalini.
 
Shida kweli kweli
FB_IMG_1667659449745.jpg
 
ulichokisema kwa wananchi juu ya ajali kubwa kama hii
KWA NINI hii ni ajali kubwa? Watu wanakufa mabarabarani kila uchwao yanapita kimya kimya. Somebody help me understand why the blown up attention on this crash.
 
Back
Top Bottom