Connection tu mzee ,bongo hamna kinachoshindikana 😁Naomba nitolewe gizani kidogo kuhusu itifaki za mambo ya mawasiliano serikalini. Gerson msigwa hivi karibuni aliteuliwa na Rais kama msemaji mkuu wa serikali. Lkn naona bado anaendelea kusaini papers kama mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu. Which is which hapa
aah wapi?Huyo kwenye avatar ni wewe??
Anasaini kwa niaba ya mkurugenzi wa mawasilisno ikuluNaomba nitolewe gizani kidogo kuhusu itifaki za mambo ya mawasiliano serikalini. Gerson msigwa hivi karibuni aliteuliwa na Rais kama msemaji mkuu wa serikali. Lkn naona bado anaendelea kusaini papers kama mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu. Which is which hapa
Unauliza Ajali 'Vigwaza' Mkoani Pwani?mtu ambaye hafuatilii mambo anakua ni mswahili mswahili?! 😲
Mtu una kaimu vipi nafasi ambayo ulikuwepo na hakuna aliyeteuliwa. Hapo kidogo inanichanganyaSikumbuki kama msemaji wa Ikulu aliteuliwa nafkr bado ana kaimu yeye
Shida ya wabongo inaanzia hapa kwamba kila anaueuliza kutaka ufafanuzi basi ana nongwa. Mkuu hizi ni taasisi za serikali kuuliza ili kuwa aware ni nzuri zaidi. Anagali hapa yeye mwenyewe amekiri kwamba ni former director wa ikulu. Kati ya wew na yeye nani mkweli?Jamani hebu tuacheni 'Nongwa' rejeeni katika zile 'Teuzi' za Mama baada ya kufanya Mabadiliko ilitangazwa wazi kabisa kuwa Gerson Msigwa ni both Msemaji wa Ikulu na Serikali.
Tujitahidi sana Kufuatilia Habari nchini ili tusije kuonekana ni Watu 'Wapuuzi' ambao tumekalia tu Majungu na Uswahili Uswahili tupu. Kuna Mambo yanasikitisha na Kukera pia.
Cc: tashwishwi
Siyo kwamba aliyesaini ndio amesaini kwa niaba ya Gerson Msigwa?Anasaini kwa niaba ya mkurugenzi wa mawasilisno ikulu
Angalia kushoto kwa saini yake Kuna mkwaju
Hivi andiko langu linaonesha popote kwamba nina chuki?Unaonekana humpendi Gerson Msigwa, wala usihangaike through trend reading huyo anaonesha hana siku nyingi atatolewa kwenye hicho cheo cha msemaji wa ikulu, kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali ni kama njia ya kuelekea kumchomoa ikulu
Rejea tu Maelezo ya Uteuzi wake mpya.Shida ya wabongo inaanzia hapa kwamba kila anaueuliza kutaka ufafanuzi basi ana nongwa. Mkuu hizi ni taasisi za serikali kuuliza ili kuwa aware ni nzuri zaidi. Anagali hapa yeye mwenyewe amekiri kwamba ni former director wa ikulu. Kati ya wew na yeye nani mkweli?View attachment 1772696
Hapana saini ni ya Gerson kwa niaba ya mkurugenzi wa mawasilisnoSiyo kwamba aliyesaini ndio amesaini kwa niaba ya Gerson Msigwa?
Acha utaniaah wapi?
Sawa mkuuSio yeye
Huyo ni Me, anayependa wanawake weupe, wenye lips kama zahuyo dada
Hahaha aaaaaAringe