Gerson Msigwa sasa Upumzike kuongea na Media, kwani tayari Mobhare Matinyi Kateuliwa na anatosha

Gerson Msigwa sasa Upumzike kuongea na Media, kwani tayari Mobhare Matinyi Kateuliwa na anatosha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwahiyo kuanzia sasa Wewe jikite tu na Kuhangaika na Shughuli za Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ukiwa kama Katibu Mkuu wake.

Haya ya sijui kuita Media au Kuisemea Serikali, Kumsemea Rais Samia na hata lile Zoezi la Kugawa Mamilioni ya Motisha kwa Vilabu vya Simba, Yanga, Taifa Stars na Twiga Stars kwa sasa hayakuhusu na muachie Mtu mpya na Mahiri kukuzidi aliyeteuliwa Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma ) sawa?

Na nyie Waandishi wa Habari acheni Kuogopa, Kumuogopa na Kujipendekeza kwa Gerson Msigwa kwani kwa sasa si Bosi wenu tena, hana Jipya na kamwe asiwatisheni tisheni na mjue kuwa Boss Wenu na hata Yeye Gerson Msigwa pia Boss wake ( Kihabari na Kimawasiliano ) ni huyu Mwamba Poti Mobhare Matinyi sawa?
 
Kwahiyo kuanzia sasa Wewe jikite tu na Kuhangaika na Shughuli za Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ukiwa kama Katibu Mkuu wake.

Haya ya sijui kuita Media au Kuisemea Serikali, Kumsemea Rais Samia na hata lile Zoezi la Kugawa Mamilioni ya Motisha kwa Vilabu vya Simba, Yanga, Taifa Stars na Twiga Stars kwa sasa hayakuhusu na muachie Mtu mpya na Mahiri kukuzidi aliyeteuliwa Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma ) sawa?

Na nyie Waandishi wa Habari acheni Kuogopa, Kumuogopa na Kujipendekeza kwa Gerson Msigwa kwani kwa sasa si Bosi wenu tena, hana Jipya na kamwe asiwatisheni tisheni na mjue kuwa Boss Wenu na hata Yeye Gerson Msigwa pia Boss wake ( Kihabari na Kimawasiliano ) ni huyu Mwamba Poti Mobhare Matinyi sawa?
Na ana sauti mbaya hata haina mvuto atoke tu hafai tena
 
Kwahiyo kuanzia sasa Wewe jikite tu na Kuhangaika na Shughuli za Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ukiwa kama Katibu Mkuu wake.

Haya ya sijui kuita Media au Kuisemea Serikali, Kumsemea Rais Samia na hata lile Zoezi la Kugawa Mamilioni ya Motisha kwa Vilabu vya Simba, Yanga, Taifa Stars na Twiga Stars kwa sasa hayakuhusu na muachie Mtu mpya na Mahiri kukuzidi aliyeteuliwa Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma ) sawa?

Na nyie Waandishi wa Habari acheni Kuogopa, Kumuogopa na Kujipendekeza kwa Gerson Msigwa kwani kwa sasa si Bosi wenu tena, hana Jipya na kamwe asiwatisheni tisheni na mjue kuwa Boss Wenu na hata Yeye Gerson Msigwa pia Boss wake ( Kihabari na Kimawasiliano ) ni huyu Mwamba Poti Mobhare Matinyi sawa?
Umemalizaaaa mkuuu nakaziaaa
 
Na ana sauti mbaya hata haina mvuto atoke tu hafai tena
Alitamba sana enzi za JPM. Alikuwa ni zaidi ya CHAWA! Na alikuwa si msemaji wa TAASISI, bali kama MSEMAJI BINAFSI WA JPM. Ziarani, yupo! Mapumzikoni Chato, yupo! Na baadhi ya kauli zake, alikuwa kama anatoa maagizo fulani, kama vile ana mamlaka fulani!
Tulikuwa HATUPUMUIIII!
 
Alitamba sana enzi za JPM. Alikuwa ni zaidi ya CHAWA! Na alikuwa si msemaji wa TAASISI, bali kama MSEMAJI BINAFSI WA JPM. Ziarani, yupo! Mapumzikoni Chato, yupo! Na baadhi ya kauli zake, alikuwa kama anatoa maagizo fulani, kama vile ana mamlaka fulani!
Tulikuwa HATUPUMUIIII!
Wakati ni ukuta ndio hivyo atumike kwingine
 
Alitamba sana enzi za JPM. Alikuwa ni zaidi ya CHAWA! Na alikuwa si msemaji wa TAASISI, bali kama MSEMAJI BINAFSI WA JPM. Ziarani, yupo! Mapumzikoni Chato, yupo! Na baadhi ya kauli zake, alikuwa kama anatoa maagizo fulani, kama vile ana mamlaka fulani!
Tulikuwa HATUPUMUIIII!
Tumefurahi mno GM Kuondoshwa hapo.
 
Back
Top Bottom