Gerson Msigwa: Serikali imewaleta DP World nchini ili vijana wapate ujuzi

Gerson Msigwa: Serikali imewaleta DP World nchini ili vijana wapate ujuzi

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari.

Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini njia nzuri ni kuwaleta DP World hapa ili vijana wengi wapate uwezo na nafasi ya kujifunza wakiwa hapa hapa nchini kuliko kupeleka wachache.

Serikali imewahi kupeleka vijana wengi kabla na sasa imeona ilete wawekezaji hapahapa nchini ili kukuza ujuzi wa watu wa ndani.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari.

Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini njia nzuri ni kuwaleta DP World hapa ili vijana wengi wapate uwezo na nafasi ya kujifunza wakiwa hapa hapa nchini kuliko kupeleka wachache.

Serikali imewahi kupeleka vijana wengi kabla na sasa imeona ilete wawekezaji hapahapa nchini ili kukuza ujuzi wa watu wa ndani.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Kwani vijana wa Zanzibar hawataki huo ujuzi?!
 
Anatakiwa awe na msikiliza dokta slaa yuko live star tv anatema cheche
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari.

Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini njia nzuri ni kuwaleta DP World hapa ili vijana wengi wapate uwezo na nafasi ya kujifunza wakiwa hapa hapa nchini kuliko kupeleka wachache.

Serikali imewahi kupeleka vijana wengi kabla na sasa imeona ilete wawekezaji hapahapa nchini ili kukuza ujuzi wa watu wa ndani.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Mpango wa biashara ukoje? Where is the business plan
 
MSIGWA kachanganyikiwa lila siku na ngonjera MPYA juzi kasema Toka tumepata Uhuru Hatujawahi kupata Faida Bandarini anasahau kuwa MAFISADI ndio wamepewa kuongeza Bandari Majizi hayachukuliwi HATUA ya Yanalindwa na CCM
jamiiforums_1687969967798553.jpg
 
Kila kukicha kitazuka kituko kingine Africa.

Hoja zingine ni kichekesho kwa wenye akili timamu.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari.

Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini njia nzuri ni kuwaleta DP World hapa ili vijana wengi wapate uwezo na nafasi ya kujifunza wakiwa hapa hapa nchini kuliko kupeleka wachache.

Serikali imewahi kupeleka vijana wengi kabla na sasa imeona ilete wawekezaji hapahapa nchini ili kukuza ujuzi wa watu wa ndani.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Msigwa aache upumbavu, akili sijui anaachaga wapi?
 
Back
Top Bottom