Tunawalisha ng'ombe sumu kila siku afu eti tunategemea siku ya mnada hatutokuwa na vibudu, matokeo tofauti😹😹😹. Na wananchi hata hatuna tabu, tunakubali tu, si hatuna cha kufanya, 'tumefungwa mikono', hatuwezi furukuta, tumezibwa midomo hakuna neno hata moja latutoka!
====
Kwa upande wa serikali tumehakikisha mazingira yote ya kusimamia taratibu tulizojiwekea za uchaguzi yanazingatiwa na ndio maana tunafanya uchaguzi kwa amani na utulivu", Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa.
Amesema hayo leo Januari 2, alipokuwa akihojiwa Azam TV, Dar es Salaam.
Wafanyie marekebisho ya haraka kwanza kwenye hiyo wanayo iita "Tume Huru ya Uchaguzi" ili iwe huru kweli! Kinyume na hapo, itakuwa ni vigumu sana kuyaamini maneno ya wanasiasa.
Tunawalisha ng'ombe sumu kila siku afu eti tunategemea siku ya mnada hatutokuwa na vibudu, matokeo tofauti😹😹😹. Na wananchi hata hatuna tabu, tunakubali tu, si hatuna cha kufanya, 'tumefungwa mikono', hatuwezi furukuta, tumezibwa midomo hakuna neno hata moja latutoka!
====
Kwa upande wa serikali tumehakikisha mazingira yote ya kusimamia taratibu tulizojiwekea za uchaguzi yanazingatiwa na ndio maana tunafanya uchaguzi kwa amani na utulivu", Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa.
Tunawalisha ng'ombe sumu kila siku afu eti tunategemea siku ya mnada hatutokuwa na vibudu, matokeo tofauti😹😹😹. Na wananchi hata hatuna tabu, tunakubali tu, si hatuna cha kufanya, 'tumefungwa mikono', hatuwezi furukuta, tumezibwa midomo hakuna neno hata moja latutoka!
====
Kwa upande wa serikali tumehakikisha mazingira yote ya kusimamia taratibu tulizojiwekea za uchaguzi yanazingatiwa na ndio maana tunafanya uchaguzi kwa amani na utulivu", Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa.
Amesema hayo leo Januari 2, alipokuwa akihojiwa Azam TV, Dar es Salaam.