SoC04 Gesi suluhu la uharibifu wa Misitu

SoC04 Gesi suluhu la uharibifu wa Misitu

Tanzania Tuitakayo competition threads

babamwingine

New Member
Joined
May 5, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Gesi ni moja ya rasilimali zinazopatikana hapa katika nchi ya Tanzania japokuwa gesi ni rafiki wa mazingira, lakini watu wamekuwa na mwamko mdogo wa kuitumia kwa sababu hizi zifuatazo:-

Gesi kuuzwa kwa bei ya juu, hii inapelekea watu wengi kutumia mazao ya misitu kwa mfano mkaa na kuni bei yake haipungui elfu kumi kwa gunia na ukiangalia kununua gesi inagharimu elfu hamsini na kuendelea. Kwa hiyo mtu anaona bora atumie elfu kumi kununua gunia la mkaa ambalo atatumia zaidi ya mwezi mmoja badala ya kutumia gesi ambayo haimalizi hata wiki tatu.

 Mwisho, naiomba serikali iwekeze hasa kwenye gesi gharama za kununua na kujaza gesi zipungue kwasababu hii itamfanya kila mtanzania amudu bei hizo na hii pia itapunguza uharibifu wa misitu kwenye nchi yetu
 
Upvote 2
 Mwisho, naiomba serikali iwekeze hasa kwenye gesi gharama za kununua na kujaza gesi zipungue kwasababu hii itamfanya kila mtanzania amudu bei hizo na hii pia itapunguza uharibifu wa misitu kwenye nchi yetu
Bahati mbaya, gesi ni lazima iuzwe kulingana na gharama yake. Na hii ni kwa sababu makampuni yanaendeshwa ili yalete faida kwa wote watumiaji gesi na hao wafanyabiashara.

Hapo hakunaga ile ya kusema ooh kampuni inaendeahwa kwa hasara. Yaani sijui tufanyeje tu🤔. Labda kama teknolojia itapunguza gharama za kuichimba hadi kuisambaza lakini vinginevyo ni kufunga mkanda kwerikweri
 
Back
Top Bottom