Gesi tumboni

tashyno abas

Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
12
Reaction score
8
Habari, nasumbuliwa sana na mingurumo kwenye tumbo na tumbo linaniuma sana, nimetumia dawa nyingi hospital lkn bado, naombeni ushauri ni dawa gani mzr itanisaidiaa ndg zangu
 
Jitahidi kula vyakula vya moto, hasa chai au hata maji ya moto asubuh.

Yawezekana una vidonda vya tumbo
 
Pamoja na kuepuka aina ya vyakula, matunda na vinywaji vinavyokuletea gesi tumboni.

Fanya uchunguzi wa vidonda vya tumbo.
 
Habari, nasumbuliwa sana na mingurumo kwenye tumbo na tumbo linaniuma sana, nimetumia dawa nyingi hospital lkn bado, naombeni ushauri ni dawa gani mzr itanisaidiaa ndg zangu
Pole sana lakini hapa huwezi kupata msaada stahiki kwa sababu hakuna anayejua chanzo cha gas yako tumboni ni nini! Watu watakuwa wanabahatisha na hivyo kukushauri unywe dawa kwa kubahatisha kitu ambacho kinaweza kisimalize tatizo au kikafanya liwe kubwa. Tatizo lako litaisha siyo kwa kunywa dawa tu bali kwa kujua kwanza chanzo ni nini.
 
Nina mashaka na thinking capacity yako
 
Nilishaandika hapa mara nyingi juu ya tatizo hili na namna ya kujiponya.Fuatilia hizo nyuzi utapata msaada vizuri.
 
Mtu kama wewe kuwa na mashaka na uwezo wa mtu wa kufikiri hakumaanishi chochote.
Yaan wewe ulivyo comment ni kama vile hakuna umuhimu wa mtu kuleta nyuzi humu,hivi unafikiri umuhimu wa kuleta nyuzi humu ni upi au una comment tu
 
Tumia zamda uichemshe unywe naamin tatizo litaisha na pia tafuna majan ya mnananaaa mazur sana yanatoa gas na pia hata kinywan yanatoa haruf mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…