Makonde wote!! somo!! hamna bahati!! Mliachia dodo hivi hivi?? ...Mkondo wa mafuta umeelekezwa na wagemaji kuelekea Msumbiji yanapatikana huko wameshaanza kuchimba, nyie si mlitaka pasu kwa pasu kwa lazima!!
sasa ngoja wawaonyeshe kuwa wao ni zaidi mtabaki kutega mikono tyuuu na kuuza mitumba kenge kabisa.......labda mkilia lia saaana na kujuta kwa mlilo wafanyia watawapa mafuta taka muoshe mkauze Rami! tena mnako jua nyie! chaza nini....