? Mkuu we ni mtafiti wa screamings? Vipi mkeo halii?Miaka miwili hii ukilala gest kuna utulivu sana tofauti na hapo nyuma kelele za wadada au wanawake zilikuwa kubwa sana wanapoingia na wanaume wao.
Hiyo screaming ilikuwa hatari....
Uko sahihi.ni swala dogo haliitaji akili ya darasa la saba kuelewa.....
ni hivi, siku hizi maendeleo yamekuja , kuna lodge za maana, unakuta full gypsum vioo aluminium na air condition. mtu akijimwaga ndani kelele utazisikia wapi ?
zaman gest bubu unakuta nyingine hazina hata cilling board, madirisha ni wavu wanaziba na pazia tu bas... sauti inakua ni rahisi kupenya.
kwa kifupi sababu kubwa ni maendeleo.
hahahah tena mwananyamala kwa mama zakaria, kila baada ya nyumba 2 kuna gestiMleta mada utakuwa umetokea mwananyamala