DOKEZO Geti la mazao na maliasili pale Itigi mkoani Singida kuna watumishi wala rushwa

DOKEZO Geti la mazao na maliasili pale Itigi mkoani Singida kuna watumishi wala rushwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mwanambugulu

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2017
Posts
683
Reaction score
851
Wakuu habari zenu? Leo Nataka kuzungumza pale Itigi kwenye geti la mazao na maliasili wale jamaa wanaongoza kwa kula rushwa yani ukifika pale na magendo wanakuchekeche lengo utoe mpunga tu Ili wakuachie.

Naomba nikili Mimi nilikua msafirishaji wa bangi wmaenidaka juzi yani hakuna kitu wanataka zaidi ya pesa Ocs wa pale nadhani anaitwa Hosea au yona sikumbuki vizuri ila hayo majina pale yapo wanapiga pesa sio kitoto Mimi nimeacha miliyoni pale na mizigo yangu ya bangi wameikomalia pia mchele wangu hawajataka kunipa kwaio wanachukua bangi wanaenda kuuza na mchele pia na pesa wanakuchomoa Kuna mgambo wawili pale getini ndio wanakula nao njama Moja mmoja mrefu sana yule ndio kweli wakikuweka ndani wanaongea kinyaturu sijui Ili usielewe kitu.

Wakuu ni eleta hii sababu swala ni kuzuia magendo Sasa kwa nini wajipatie kipato kwa kuomba rushwa Tena waziwazi.

Mtu umekamtwa na bangi si wakupeleke kwa wahusika? Wanachukua Hela basi wakuachie mizigo ukapambane wenyewe wanachukua alafu wanakunyanyasa huo ni ujinga.

Sana yule OCS na afande wake mrefu mweupe wanapiga Hela haramu nyingi sana serikali iwaangalie pale Mimi ni mdau tu natoa maoni yangu kuhusu biashara na udhaifu wa mamlaka husika siku ingine tawaletea issue z pale kintiku getini nao Wala rushwa tu.

Shukrani
 
Pole sana mkuu bahati mbaya TAKUKURU wana mafaili mengi sana kwenye hilo eneo kama sikosei lakini sijaona uwajibishwaji
 
Hakuna barrier isiyo kosa mauzauza,rushwa nk
Ukishaona barrier and aaah mazingira

Ova
 
Wakuu habari zenu? Leo Nataka kuzungumza pale Itigi kwenye geti la mazao na maliasili wale jamaa wanaongoza kwa kula rushwa yani ukifika pale na magendo wanakuchekeche lengo utoe mpunga tu Ili wakuachie.

Naomba nikili Mimi nilikua msafirishaji wa bangi wmaenidaka juzi yani hakuna kitu wanataka zaidi ya pesa Ocs wa pale nadhani anaitwa Hosea au yona sikumbuki vizuri ila hayo majina pale yapo wanapiga pesa sio kitoto Mimi nimeacha miliyoni pale na mizigo yangu ya bangi wameikomalia pia mchele wangu hawajataka kunipa kwaio wanachukua bangi wanaenda kuuza na mchele pia na pesa wanakuchomoa Kuna mgambo wawili pale getini ndio wanakula nao njama Moja mmoja mrefu Sana yule ndio msenge kweli wakikuweka ndani wanaongea kinyaturu sijui Ili usielewe kitu.

Wakuu ni eleta hii sababu swala ni kuzuia magendo Sasa kwa nini wajipatie kipato kwa kuomba rushwa Tena waziwazi.

Mtu umekamtwa na bangi si wakupeleke kwa wahusika? Wanachukua Hela basi wakuachie mizigo ukapambane wenyewe wanachukua alafu wanakunyanyasa huo ni ujinga.

Sana yule Ocs na afande wake mrefu mweupe wanapiga Hela haramu nyingi sana serikali iwaangalie pale Mimi ni mday tu natoa maoni yangu kuhusu biashara na udhaifu wa mamlaka husika siku ingine tawaletea issue z pale kintiku getini nao Wala rushwa tu.

Shukrani
Police wetu wapuuzi Sana unaweza kupigwa wewe ukaumia wewe Kisha aliye kupiga akiwai police wewe uliye pigwa ndo unawekwa chini ya ulinzi

Haijarishi ume umia kiasi gani
 
Back
Top Bottom