Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 787
- 1,056
Wakuu,
Jirani yangu ameniambia kuwa geti langu la futi 10 linaweza kupelekea gari kugonga nguzo wakati wa kuingia au kutoka.
Hii ni kweli?
Kwa sasa sina gari, Ila naomba mnipe uzoefu kabla sijaingia gharama ya kubomoa nguzo ili kuongeza upana wa geti kwa ajili ya matumizi ya baada'e.
Jirani yangu ameniambia kuwa geti langu la futi 10 linaweza kupelekea gari kugonga nguzo wakati wa kuingia au kutoka.
Hii ni kweli?
Kwa sasa sina gari, Ila naomba mnipe uzoefu kabla sijaingia gharama ya kubomoa nguzo ili kuongeza upana wa geti kwa ajili ya matumizi ya baada'e.