10ft ni kama 3m, gari ndogo nyingi ni 1.5-2m upana. Gari kubwa malori hakuna inayozidi 3m upana pia maana hata baadhi ya barabara zetu lanes zake hazifiki hata 3m baadhi ya barabara za lami kabisa. Angalia tu kama sehemu ya kuangalia na kutoka kwenye geti una nafasi ya kutosha, kama ipo usipoteze pesa yako kubomoa chochote.