Kwa kawaida Miti huwa inapungunzwa hasa baada ya miaka mitano ili kuhakikisha miti inapata chakula na mwanga wa kutosha, ndio maana idadi inapungua.Hapo kwenye harvesting, kwa nini idad ya trees Umeweka tofauti kwa 4,6 and 18yrs!?
Na vip kuhusu gharama ya mavuno, ni gharama ya mnunuzi!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.siku niliposusa hiyo biashara ni pale shamba langu la miaka 8 lilipochomwa moto na wasiojulikana, wabongo hatuna maana
thanks to god the almighty