ghali ya soko la alizeti na mafuta yake

ghali ya soko la alizeti na mafuta yake

moses28

New Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
3
Reaction score
0
Kwanza naomba niwashukuru sana wana JF kwa kutoa mawazo yanayojenga pindi mtu anapokuwa anahitaji msaada huo,binafsi naomba kufahamu juu ghali ya soko la alizeti ndani ya nchi,ni kipi chenye soko zaidi kati ya alizeti yenyewe au mafuta yake,na ni maeneo yapi soko linakuwa zuri zaidi,pia nahitaji kufahamu juu ya ukulima wa alizeti,mf.inachukuwa mda gani toka kupanda hadi kuvuna na cost zake kwa ujumla,nina mpango wa kulima hili zao kwa mkoa wa rukwa,asanteni sana.......
 
Ghali ndo nini? Sijakuelewa hapo
Kama unataka kulima jipange ukamue mwenyewe tu ukiuza Alizeti utalanguliwa tu
 
Kuan thread ya alizeti ilishawahi kujadiliwa humu... omba mods wkusaidie kwa hili...
 
Back
Top Bottom