Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe unataka watu waanze kupeleka ndege huko nini? Lile lidege likubwa jipya litawajaza. Kikombe cha babu au kidonge cha bibi?
Imepitia medical researches, inaonekana kuwa na uhakika. Swali ni kuwa wazungu wataipokeaje hii kuwa Africa ime crack the code?Nawe unataka watu waanze kupeleka ndege huko nini? Lile lidege likubwa jipya litawajaza. Kikombe cha babu au kidonge cha bibi?
Kumbuka ukienda UK na US hawa watu ndo wanafanya research sana ila hawatambuliki. Ukienda pale tropical disease research london wengi wanatoka huko ila wa Ethiopia wapo na Eretria. Nilikuta Mtanzania mmoja tu zamani that was 1994.Imepitia medical researches, inaonekana kuwa na uhakika. Swali ni kuwa wazungu wataipokeaje hii kuwa Africa ime crack the code?
Wazungu mwanzo walifikiri UKIMWI ni tatizo la Afrika, lilipowafikia ndipo waligundua kuwa dunia ni kijiji.Hizi dawa za kutibu maradhi yasababishwayo na AIDS zinagundulika kila wakati karibu kila nchi ila wazungu wakishasikia wanatuma watu wao kwa mgongo wa W.H.O na kuua mfumo mzima wa ugunduzi wakisema kuwa haukidhi vigezo/standards za shirika hilo la afya ulimwenguni.
Waliutengeneza UKIMWI wao eti ili upunguze kasi ya ongezeko la watu shambani kwao (AFRIKA) ingawa ulivuka mipaka ya bara hili pia.
Tanzania ilishawahi kugundua mpaka kinga ila yakaisha kimya kimya (nakumbuka baadhi ya askari polisi walipewa chanjo.........)
Israel mwaka huu pia waligundua ila nadhani hizo dawa wanazogundua wazungu zitawatibu wao tu na watazifanya ghali sana kwa anayezihitaji hasa kutoka Africa, Asia na some southern American countries.
They are making our world so hard everyday.
Ila tusubiri tuone....
Tupe reference sababu huwezi gundua kitu kisiingie kwenye board of research. Mbona waligundua kinga ya malaria Kilosa na wameijaribu ingawa mpaka sasa hatujui kulikoni?Hizi dawa za kutibu maradhi yasababishwayo na AIDS zinagundulika kila wakati karibu kila nchi ila wazungu wakishasikia wanatuma watu wao kwa mgongo wa W.H.O na kuua mfumo mzima wa ugunduzi wakisema kuwa haukidhi vigezo/standards za shirika hilo la afya ulimwenguni.
Waliutengeneza UKIMWI wao eti ili upunguze kasi ya ongezeko la watu shambani kwao (AFRIKA) ingawa ulivuka mipaka ya bara hili pia.
Tanzania ilishawahi kugundua mpaka kinga ila yakaisha kimya kimya (nakumbuka baadhi ya askari polisi walipewa chanjo.........)
Israel mwaka huu pia waligundua ila nadhani hizo dawa wanazogundua wazungu zitawatibu wao tu na watazifanya ghali sana kwa anayezihitaji hasa kutoka Africa, Asia na some southern American countries.Tu
They are making our world so hard everyday.
Ila tusubiri tuone....
Waghana wamepiga kitabu, karibu kila hospitali unayokwenda Uingereza kuna professor mmoja au zaidi kutoka Ghana.Kumbuka ukienda UK na US hawa watu ndo wanafanya research sana ila hawatambuliki. Ukienda pale tropical disease research london wengi wanatoka huko ila wa Ethiopia wapo na Eretria. Nilikuta Mtanzania mmoja tu zamani that was 1994.
I believe Ghana can do it. Wale ni watu wanachakarika sisi siasa zinawafanya watu wawe butu. Tunashindwa nini kutuma wana sayansi sasa hizi ili wajiunge na wenzao ili wafanye experiment. Sky mwanangu ni researcher angependa kwenda Tz ila wakati yupo BSc nilienda kumuombe nafasi ili afanye research bongo akakataliwa, mwanangu wa kike alikataliwa kufanya research Milembe hospital eti niende kwa waziri.
Walienda wakafanya projects zao mmoja Kenya mwingine Myanmar na wamepata kazi nzuri. Naishukuru nchi yangu kwa kutupumbaza. Mnawapaisha wenzenu.
Kumbuka bongo tunapata dawa bure ila sasa kipodo kinakuja baada ya US kuweka kibano. Wajiandae. Hao Ghana wapanue uwanja ili dreamline iweze kutua mara tatu kwa siku.Wazungu mwanzo walifikiri UKIMWI ni tatizo la Afrika, lilipowafikia ndipo waligundua kuwa dunia ni kijiji.
Dawa ikipatikana wataitangaza, kumtibu mgonjwa wa HIV kwa ARV za sasa zinagharimu kati ya £400-1000 kwa mwezi, kumbuka kuwa mtu huyu anaweza kuishi miaka 40 ijayo.
Nurse Sky Eclat tunashukuru kwa taarifa, napenda sana ulivyo updated keep it up
No hawawezi kubania ARV na dawa za TB ni moja ya basic needs za binadamu wenye mahitaji hayo.Kumbuka bongo tunapata dawa bure ila sasa kipodo kinakuja baada ya US kuweka kibano. Wajiandae. Hao Ghana wapanue uwanja ili dreamline iweze kutua mara tatu kwa siku.
Tupe reference sababu huwezi gundua kitu kisiingie kwenye board of research. Mbona waligundua kinga ya malaria Kilosa na wameijaribu ingawa mpaka sasa hatujui kulikoni?
Tuache mambo ya siasa za kiafrika ila uje na formula unaipublish watu wataidiscuss. Kwani wanasayansi wangapi duniani walipingwa kwa miaka mingi ila wakakubaliwa baada ya miongo? sayansi siyo Penguin books ambayo mtu anasoma na kukubali.
WHO wataikwamisha kwa njia za kimafiaImepitia medical researches, inaonekana kuwa na uhakika. Swali ni kuwa wazungu wataipokeaje hii kuwa Africa ime crack the code?
Matatizo ya afrika yatatatuliwa na waafrika. Mzungu hachelewi kuweka mchanga kwenye kitumbua.
Matatizo ya afrika yatatatuliwa na waafrika. Mzungu hachelewi kuweka mchanga kwenye kitumbua.