gharama na utaratibu kubadilisha jina kadi ya gari

Purity1

Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
15
Reaction score
5
wanandugu habari ya weekend.

tafadhali mwenye ufahamu naomba anielekeze utaratibu wa kufuata katika kubadilisha jina kwenye kadi ya gari pamoja na gharama zinazohusiana na zoezi hili. nimetembelea website ya www.tra.go.tz nimeshindwa kupata taarifa.
nitashukuru sana wadau.
 
Unachukua car sale agreement, pamoja na card ya previous owner na TIN yako, unaenda navyo ofisi za TRA (zinazodili na kusajili magari) kuna form watakupatia unaijaza kisha watakufanyia calculation ulipie kiasi gani, kisha watakupatia form ya bank ambapo utapaswa kwenda kulipa hiyo hela, ukishalipia watakutengenezea kadi mpya kulingana na details utakazokuwa umejaza kwenye form ya mwanzo. Ni process ya dakika chache kutegemeana na speed yako. ila andaa kama 200,000 Tsh manake binafsi sikuelewa formula wanayotumia, niliwahi kusajili corolla wakanilipisha 160,000! Labda wajuzi watatufungua macho namna wanavyo calculate gharama...
 
1% ya sales plus shilingi 60,000 kwa ajili ya kubadili jina. Hii nimekutana nayo juzi tu.
 
ila ukipitisha mwezi baada ya manunuzi unapigwa faini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…