Gharama tanapa

Mr Mtu

Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
78
Reaction score
19
Wakuu,naombeni ambaye anazifahamu gharama za kutembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti anipe,nipo Mwanza,je ninaweza anzia safari huku? Au hadi wapi? Nataka twende huko na mke wangu,nimejaribu kwa simu ku-download fail halifunguki ni pdf... Ahsanteni sana
 
Kuingia unalipa sh. 1000 kwa kichwa kama wewe ni MTanzania. Kama una gari pia inalipiwa kutokana na cc zake. Unaweza kutoka Mwanza ukaingilia geti karibu na Lamadi. Tembelea website yao pia
 
Kuingia unalipa sh. 1000 kwa kichwa kama wewe ni MTanzania. Kama una gari pia inalipiwa kutokana na cc zake. Unaweza kutoka Mwanza ukaingilia geti karibu na Lamadi. Tembelea website yao pia

Asante mkuu
 
Asante nadhani haina haja ya kufungua hiyo website maana kwa sasa niko ndani ya hifadhi ya Mikumi japo mimi nina free permit nitacheck nao kisha nitaleta taarifa possibly kesho!

Ok! Kila la heri kaka
 
Ivi kwa nn? Tanapa wasiwe na ukurasa wao umu. Prof. Jumanne Maghembe umesinzia sana. Najua Umri ni mkubwa sana au technology imekuacha ungejaribu kusogea kama alivyo fanya msukuma mwenzangu Said Meck Sadiq. Izi sectors zinaitaji mwenye kujua maswala ya Mitandao sana nadhani maswala ya advertising upo nyuma sana. Unashindwa kutengeneza matangazo Mitandaoni ya kueleza vivutio vya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…