Gharama ya 500m Bridge Kenya ni sawa na kujenga electric SGR Tanzania Dar - Moro hundreds of KMs

Ule mwiba kwel...mpka mkaenda kulalamika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jwtz hoyeeee!!!wameopoa watu ndani ya dakika kumi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Bwaaaahhh Uzi wako wa jwtz upo wapi? Tumeupiga pin kweli jf hawana huruma @komora
 
We ulikuumiza kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante sana kw hisia...
Nyuzi zangu mm ni miba...nawadunga halafu natulia pembeni tu..
Moderator Wanafahamu jamaa anatumia makwapa kufikiria ndio maana wakautoa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama yangu!!!
Uhalifu ni different aspect na tunachokikusudia hapa.
Magufuli huzungumziwa kama kiongozi bora pasi na yeye kujijua.
Ila Uhuruto anazurura anaongea lugha za mabeberu na wanaongea naye kikawaida tu.
Ila Magufuli wanamsifu sana ilhali hakuwahi enda na kuzurura km afanyavyo Uhuruto na haongei Kiingereza cha ajabu.
It means wanaacha kaz zao kutafsri maneno ya huyu msukuma.
Ndio maana nikakuuliza taifa gani limetaka kiongozi wao awe kama Uhuruto kama vile Australia a developed nation ilivyomtaka Turnbull awe km Magufuli???
Hata habari za al shabab pia huaga wana zi ripoti pasi kuwaita...so ihyo si big deal...tatizo kiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…