Amani iwe kwenu
Kwa mwenye uzoefu gharama/vifaa/maduka/design za finishing kwa nyumba yenye 180 sqm
1. Grill za madirisha na milango
2. Kupiga ripu(plasta) na rangi
3. installation ya umeme na plumbing
4. Gypsum na Tiles
5. Masink ya chooni/jikoni
6. Madirisha ya vioo(aluminium au PVC)
7. Milango ya mbao/pvc/soft board
Bei ya hizo gharama inategemea uko maeneo gani?, ingekuwa busara ukasema uko maeneo gani ili usaidiwe kiundani,
We ndio mtoa mada?, una ID mbili?Mi niko Mwanza
Gharama yake inaweza kulingana au hata kupita gharama ya kujenga boma na kupiga batiAmani iwe kwenu
Kwa mwenye uzoefu gharama/vifaa/maduka/design za finishing kwa nyumba yenye 180 sqm
1. Grill za madirisha na milango
2. Kupiga ripu(plasta) na rangi
3. installation ya umeme na plumbing
4. Gypsum na Tiles
5. Masink ya chooni/jikoni
6. Madirisha ya vioo(aluminium au PVC)
7. Milango ya mbao/pvc/soft board
Amani iwe kwenu
Kwa mwenye uzoefu gharama/vifaa/maduka/design za finishing kwa nyumba yenye 180 sqm
1. Grill za madirisha na milango
2. Kupiga ripu(plasta) na rangi
3. installation ya umeme na plumbing
4. Gypsum na Tiles
5. Masink ya chooni/jikoni
6. Madirisha ya vioo(aluminium au PVC)
7. Milango ya mbao/pvc/soft board
Amani iwe kwenu
Kwa mwenye uzoefu gharama/vifaa/maduka/design za finishing kwa nyumba yenye 180 sqm
1. Grill za madirisha na milango
2. Kupiga ripu(plasta) na rangi
3. installation ya umeme na plumbing
4. Gypsum na Tiles
5. Masink ya chooni/jikoni
6. Madirisha ya vioo(aluminium au PVC)
7. Milango ya mbao/pvc/soft board
Tiles kwa sasa naskia spain na italy ndio vinara kama Thailand,China walivyo kwa GypsumKwa Tiles na ma sink, watafute GoodOne. Bidhaa zao ni nafuu lakini quality ni nzuri pia. Labda kama mambo yamebadilika sasa baada ya Mh Magu kuingia madarakani.
Ni kweli mkuu ingawa bei zao kubwa sana (mimi naona zaidi wanauzi jina).Tiles kwa sasa naskia spain na italy ndio vinara kama Thailand,China walivyo kwa Gypsum
Huku wengi wa Dar.Mi niko Mwanza
Sio kwa sasa, spanish tiles ni bora kwa wakati wote, gypsum ni Thailand na india ndio vinara.Tiles kwa sasa naskia spain na italy ndio vinara kama Thailand,China walivyo kwa Gypsum
Asante kwa uzoefu wako japo hujazingatia mahitaji ya mteja/mleta hoja. Hivi dirisha la aluminum ni 120,000!!!??Bei ni mbaya naomba nikadirie ingawa mimi nilijengea kijijini
1. nakadiria madirisha yapo kumi madirisha 120000x10 na milango mbao nzuri 250000x10 (milango kumi)
2. 2M
3. Hapo kama 2M
4. Gypsum 2M na ufundi + tiles (mchanga, tiles, maji na ufundi) 3M
5. Inategemea unapenda style ipi?? andaa kama 1.5M na ufundi
6. Madirisha kumi inategemea na ukubwa wa dirisha lako 300,000x10
7. sijaelewa, kuna milango namba moja juu na milango ya mbao, PVC????
Nikusaidie mkuu, ungeeleza;nimesema 180sqm kwa mzoefu anaweza jua ripu itakula kiasi gn pia gypsum na tiles za ukubwa gn mkuu
7. sijaelewa, kuna milango namba moja juu na milango ya mbao, PVC????