Gharama ya Internet ya Starlink

Gharama ya Internet ya Starlink

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni watashusha hadi nusu ya hiyo bei.

Malipo kwa mwezi ni dola 100. Karibu 240,000 kwa mwezi. Internet inasambaa hadi futi 200, kama mita 60 na inaweza sapoti hadi watu 120 na zaidi. Speed kuna watu hadi 400mps wanapata.

Ila sijajua wazee wa tozo wamejipangaje.

Unaonaje hii kitu. Itakuwa na msaada wowote kwa biashara na raia?
 
Rosti tamu yenye mizizi inatuangalia alafu inasonya. Ni juzi tu imenunua GOTI na ndio sarakasi za vifurushi zikaanza.

Akiona starlink inakuja kuharibu maslahi, ni simu moja tu mjengo mweupe, wanapigwa fitina wanajitoa!

Ngoja tuone!
 
Sawa kabisaa
20221119_172007.jpg
 
Rosti tamu yenye mizizi inatuangalia alafu inasonya. Ni juzi tu imenunua GOTI na ndio sarakasi za vifurushi zikaanza.

Akiona starlink inakuja kuharibu maslahi, ni simu moja tu mjengo mweupe, wanapigwa fitina wanajitoa!

Ngoja tuone!
Sijui tume ya ushindani haimuoni? ushindani wa mitandao ulikuwa unatusaidia sana.
 
Hapo mnajichanga halafu mnaweka wireless router mnasambaza net, kwa speed zetu bongo hio hata mkiwa watu 10 hadi 20 bado poa tu na mnaweza kuongezeka kwa mwezi unalipa buku 10 unakula internet unlimited sema sijui kama watu watozo wataiacha hii salama
Mapinduzi makubwa nayaona. Internet kwenye mabasi, mabaa nk nk
 
Rosti tamu yenye mizizi inatuangalia alafu inasonya. Ni juzi tu imenunua GOTI na ndio sarakasi za vifurushi zikaanza.

Akiona starlink inakuja kuharibu maslahi, ni simu moja tu mjengo mweupe, wanapigwa fitina wanajitoa!

Ngoja tuone!
Kuna watu wanaitwa Konnect na wanafanya kama Hao starlink nadhani..mbona wao hawajapigwa pini wanaoperate tu?

Satellite internet sio ya kila mtu kusema itaharibu kwa kiasi kikubwa biashara ya internet kwa bundles za simu.
 
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni watashusha hadi nusu ya hiyo bei.

Malipo kwa mwezi ni dola 100. Karibu 240,000 kwa mwezi. Internet inasambaa hadi futi 200, kama mita 60 na inaweza sapoti hadi watu 120 na zaidi. Speed kuna watu hadi 400mps wanapata.

Ila sijajua wazee wa tozo wamejipangaje.

Unaonaje hii kitu. Itakuwa na msaada wowote kwa biashara na raia?
Hiyo dola mia na yenyewe watashusha mpaka Nusu yake.
 
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni watashusha hadi nusu ya hiyo bei.

Malipo kwa mwezi ni dola 100. Karibu 240,000 kwa mwezi. Internet inasambaa hadi futi 200, kama mita 60 na inaweza sapoti hadi watu 120 na zaidi. Speed kuna watu hadi 400mps wanapata.

Ila sijajua wazee wa tozo wamejipangaje.

Unaonaje hii kitu. Itakuwa na msaada wowote kwa biashara na raia?
Kwa hesabu zako kwa watu 120 watalipa 2000 kwa mwezi, nafikiri ni very good deal ikiwa hivyo, ila nafikiri itasaidia sana kwenye community kama vyuo vikuu ,Hospitals , mashule etc maana wataweza kuwa na very fast internet kwa watu wao, kwa chuo kikuu kuwa na starlink 10 kulipa hiyo bei ni very good deal
 
Hiyo tuwaachie wenye vibunda vyao maana mkiwa wengi ndo inakuwa Tamu na tusitegemee itashuka maana garama aliyotumia Ku install hizo setilite ni nyingi sana
 
Actually according to sources Kwenye nchi nyingi sana Starlink malipo yake kwa mwezi ni below $100 mfano:

France wanalipa €50 ~ 121, 121.19 Tshs


Mexico wanalipa $50 ~ 116, 650.00 Tshs


Kuna nchi hadi inafikia $43. Alafu hapa tunaongelea speed za 100 Mbps+ ambayo kwa Tanzania ni kama 250,000 kwa mwezi (tukifuata bei za Liquid Home ambao naona ndiyo wana vifurushi vizuri sana kwa Tanzania )


Hapa utaona list ya nchi na kiasi wanacholipa kwa mwezi:




Msala wa Starlink ni kununua ile Dishi na Router basi.
 
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni watashusha hadi nusu ya hiyo bei.

Malipo kwa mwezi ni dola 100. Karibu 240,000 kwa mwezi. Internet inasambaa hadi futi 200, kama mita 60 na inaweza sapoti hadi watu 120 na zaidi. Speed kuna watu hadi 400mps wanapata.

Ila sijajua wazee wa tozo wamejipangaje.

Unaonaje hii kitu. Itakuwa na msaada wowote kwa biashara na raia?
Wazee wa tozo ndo wachawi watatibua kila kitu
 
Actually according to sources Kwenye nchi nyingi sana Starlink malipo yake kwa mwezi ni below $100 mfano:

France wanalipa €50 ~ 121, 121.19 Tshs


Mexico wanalipa $50 ~ 116, 650.00 Tshs


Kuna nchi hadi inafikia $43. Alafu hapa tunaongelea speed za 100 Mbps+ ambayo kwa Tanzania ni kama 250,000 kwa mwezi (tukifuata bei za Liquid Home ambao naona ndiyo wana vifurushi vizuri sana kwa Tanzania )


Hapa utaona list ya nchi na kiasi wanacholipa kwa mwezi:




Msala wa Starlink ni kununua ile Dishi na Router basi.

Usisahau sio unlimited sasa hivi kuna Cap ya 1TB, then speed inadrop na watu wanavyozidi kuongezeka panga linaendelea, bado ping hapo ni kubwa kuliko local internet. Voda kwa 250k kama upo kwenye coverage sasa hivi unapata 200mbps.

Na nchi nyingi gharama nafuu ni sababu ya Subsidy.
 
Back
Top Bottom