Habari wanaJF
Niliona printing papers na stationery Kwa bei nafuu sehemu Fulani mtandaoni. Sasa sijui nikitaka like box 100 nafanyaje? Sijajua namna halali zankuingiza mzigo no zipi, na cost implications. Naomba Kama kuna Uzi unaolezea haya ntashukuru vilevile. Kwa wanaofanya transportation pia tuonane. Asanteni, ijumaa njema