Magema Jr JF-Expert Member Joined Apr 22, 2020 Posts 1,299 Reaction score 1,197 Dec 15, 2020 #1 Heshima yako mkuu; Ningependa kufaham gharama ya Kubadili na kuboresha mwonekano wa gari yangu kwa ndani (kuweka cover,na macapert )pamoja na kupulizia rangi.je itani cost kama bei gani vile. Aina ya gari;Toyota Crown 2016 Nipo Kahama Mjini
Heshima yako mkuu; Ningependa kufaham gharama ya Kubadili na kuboresha mwonekano wa gari yangu kwa ndani (kuweka cover,na macapert )pamoja na kupulizia rangi.je itani cost kama bei gani vile. Aina ya gari;Toyota Crown 2016 Nipo Kahama Mjini
E Edzone JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 1,957 Reaction score 1,785 Dec 15, 2020 #2 Rangi huwa inaanzania laki tano. Ndani inategemea na unataka quality gani
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 Dec 15, 2020 #3 inategemeana ni material gani unataka kwa seat-cover
Magema Jr JF-Expert Member Joined Apr 22, 2020 Posts 1,299 Reaction score 1,197 Dec 15, 2020 Thread starter #4 Edzone said: Rangi huwa inaanzania laki tano. Ndani inategemea na unataka quality gani Click to expand... mkuu kuna jamaa jani pm ananiambie niandae kama m2 na point(rangi na muonekano),yani mpka mwili umekosa nguvu!!
Edzone said: Rangi huwa inaanzania laki tano. Ndani inategemea na unataka quality gani Click to expand... mkuu kuna jamaa jani pm ananiambie niandae kama m2 na point(rangi na muonekano),yani mpka mwili umekosa nguvu!!
E Edzone JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 1,957 Reaction score 1,785 Dec 15, 2020 #5 Duh inategemeana, rangi pale Sinza inapigwa na unaisahau gari kwa laki tano
Lyamber JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 11,716 Reaction score 18,828 Dec 15, 2020 #6 Kwa Tanzania sijaona watu wakuweza kureplace leather inayotoka kiwandani ikafanya gari iwe nzuri haswa
Kwa Tanzania sijaona watu wakuweza kureplace leather inayotoka kiwandani ikafanya gari iwe nzuri haswa
Kavirondo JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 751 Reaction score 1,605 Dec 15, 2020 #7 Magema Jr said: mkuu kuna jamaa jani pm ananiambie niandae kama m2 na point(rangi na muonekano),yani mpka mwili umekosa nguvu!! Click to expand... Gari yako ya 2016,mbona Ni latest Sana kwa bongo kulalamikia hizo gharama?Au ulimaanisha 2006?
Magema Jr said: mkuu kuna jamaa jani pm ananiambie niandae kama m2 na point(rangi na muonekano),yani mpka mwili umekosa nguvu!! Click to expand... Gari yako ya 2016,mbona Ni latest Sana kwa bongo kulalamikia hizo gharama?Au ulimaanisha 2006?