Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
Nicheki au nipm nikuelekezeWadau habari,
Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam.
Bei iliyopo sokoni Japan ni
$ 10,659
Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi?
Type: Nisan condor
Version/class-dump truck
Engine size 6920cc
Registration 2004/9 year
Weight 4010kg.
Ili kujua gharama halisi ya kulipia ili gari liweze kuingia kuna kikokoteo cha TRA ingia kuna website ya TRA. Bei ya gari pekee haiwezi kuwa determinant ya gharama za ushuru wa kuingiza gari. Hivyo ni vizuri ukatumia hiyo formula ya TRA yenyewe unaingiza data kisha inakupa jumla ya kiasi unachopaswa kulipia.Wadau habari,
Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam.
Bei iliyopo sokoni Japan ni
$ 10,659
Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi?
Type: Nisan condor
Version/class-dump truck
Engine size 6920cc
Registration 2004/9 year
Weight 4010kg.