Gharama ya shamba la eka 500

abcde

Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
38
Reaction score
5
Habari! Naomba kujuzwa gharama ya shamba la eka 500 na sehemu nayoweza kupata (Ni kwa ajili ya kilimo hasa vitunguuu na vitunguu swaumu)
Asante
 
Liwe Pwani, Morogoro, Manyara, Iringa, Mbeya, Singida
 
Sina infos,
But open communication itasaidia na wengine ku-develop interest!!
Of course shamba linahitajika kwa ajili ya uwekezaji kwenye kilimo cha vitunguu maji na swaumu, labda kama una info kuhusu kilimo kinachoweza kufaa pia, nitashukuru!
 
@ 600,000.00

Habari ya kazi Mr,hayo mashamba ya hiyo bei yapo maeneo gani na yanafaa kwa kilimo tajwa hapo,ufugaji na vipi kuna uwezekano wa kuwepo maji karibu na vip miundo mbinu ya barabara.Hiyo bei ni kwa ekari au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…