Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahd kugoogle utaona kila course na bei yakeGharama za masomo kwa vyuo vya afya apa Tanzania zipoje kwa mwaka 2024/2025
Samahan vp kuhusu Kairuki universityHamna chuo cha private chinj ya milioni 4 bei ya juu kabisa ni Kampala university utalipa 7.7 milioni
Kwa ngazi gani degree au diploma?Gharama za masomo kwa vyuo vya afya apa Tanzania zipoje kwa mwaka 2024/2025
Samahan vp kuhusu Kairuki university
Samahan vp kuhusu Kairuki university
Thanks so much.umechambua vizurKairuki MD FEE STRUCTURE
Usha nijibu nilikua nataka degreeKwa ngazi gani degree au diploma?
Usha nijibu nilikua nataka degree
Shukrani sana 🙏Usha nijibu nilikua nataka degree
Nikama 6.5 m ada tuSamahan vp kuhusu Kairuki universi
ila kusema ukweli hii program ni michosho mnoHamna chuo cha private chinj ya milioni 4 bei ya juu kabisa ni Kampala university utalipa 7.7 milioni
program gani hiyo inayomzid MD mshaharaila kusema ukweli hii program ni michosho mno
Ada ni hela nyingi mno, pia muda wa kusoma ni mrefu (miaka 5))
Huku kuna watu wanasoma program ambazo kwa mwaka adaa ni 1.5M kwa miaka 3 tu huku baadae wanakunja mishahara mirefu kuliko MD
Daa ni kweli ila pia MD akiinahatisha anakunja hela kubwa zaidiila kusema ukweli hii program ni michosho mno
Ada ni hela nyingi mno, pia muda wa kusoma ni mrefu (miaka 5))
Huku kuna watu wanasoma program ambazo kwa mwaka adaa ni 1.5M kwa miaka 3 tu huku baadae wanakunja mishahara mirefu kuliko MD
😂😂 😂Daa ni kweli ila pia MD akiinahatisha anakunja hela kubwa zaidi