Gharama za Dialisisi zapungua: Mashine mpya SWS 6000 zawezesha unafuu kwa wagonjwa wa Figo

Gharama za Dialisisi zapungua: Mashine mpya SWS 6000 zawezesha unafuu kwa wagonjwa wa Figo

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000.

Mashine hizo moja ina thamani ya Sh31.76 milioni ambazo tayari zimefungwa katika hospitali za rufaa za mikoa. Zina uwezo wa kutoa huduma zaidi ya moja mgonjwa anapokua kwenye mashine na kutobagua vitendanishi.

Akizungumzia utendaji kazi wa mashine hizo leo Ijumaa, Desemba 27, 2024, muuguzi kiongozi wa kitengo cha kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke, Abubakari Ali amesema mashine hizo zimeboresha huduma.

Amesema awali mgonjwa angeweza kupata changamoto kwenye mashine na ili kuitatua wangelazimika kusitisha huduma kwanza, lakini sasa utoaji huduma umeimarika.

 
Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000.

Mashine hizo moja ina thamani ya Sh31.76 milioni ambazo tayari zimefungwa katika hospitali za rufaa za mikoa. Zina uwezo wa kutoa huduma zaidi ya moja mgonjwa anapokua kwenye mashine na kutobagua vitendanishi.

Akizungumzia utendaji kazi wa mashine hizo leo Ijumaa, Desemba 27, 2024, muuguzi kiongozi wa kitengo cha kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke, Abubakari Ali amesema mashine hizo zimeboresha huduma.

Amesema awali mgonjwa angeweza kupata changamoto kwenye mashine na ili kuitatua wangelazimika kusitisha huduma kwanza, lakini sasa utoaji huduma umeimarika.

Mashine 1 mil 31!! Mgonjwa analipia 150K!! Huku mkuu wa wilaya moja ana gari ya Mil 200+

Siku mwafrika akiweza kujitawala ndo utakua mwisho wa umasikini.
 
Mashine 1 mil 31!! Mgonjwa analipia 150K!! Huku mkuu wa wilaya moja ana gari ya Mil 200+

Siku mwafrika akiweza kujitawala ndo utakua mwisho wa umasikini.
😭😭
 
Vizuri tu. Yale mapikipiki na mabaiskeli waliyosambaza nchi nzima gharama yake ingetosha kupeleka huduma hiyo hadi kwenye hospitali za wilaya. Lakini sisi ni Waafrika!
Sijui ilikuwaje mpaka tukaanza kubaniana hivi, sijawahi elewa kwanini mtu atamani kula kila kitu mwenyewe au na watu wake, wakati angeweza kutoa kwa raia na mambo yangeenda fresh kabisa.

Thamani ya mTanzania inaonekana kipindi cha uchaguzi tu.
 
Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000.

Mashine hizo moja ina thamani ya Sh31.76 milioni ambazo tayari zimefungwa katika hospitali za rufaa za mikoa. Zina uwezo wa kutoa huduma zaidi ya moja mgonjwa anapokua kwenye mashine na kutobagua vitendanishi.

Akizungumzia utendaji kazi wa mashine hizo leo Ijumaa, Desemba 27, 2024, muuguzi kiongozi wa kitengo cha kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke, Abubakari Ali amesema mashine hizo zimeboresha huduma.

Amesema awali mgonjwa angeweza kupata changamoto kwenye mashine na ili kuitatua wangelazimika kusitisha huduma kwanza, lakini sasa utoaji huduma umeimarika.

Haya ndio Mambo ya maana sasa.
 
Mashine 1 mil 31!! Mgonjwa analipia 150K!! Huku mkuu wa wilaya moja ana gari ya Mil 200+

Siku mwafrika akiweza kujitawala ndo utakua mwisho wa umasikini.
It’s a good observation mkuu

Je kuna kosa dialysis services kuwa cheaper na machine kuongezwa?
 
Back
Top Bottom