Gharama za fundi Kupaua nyumba hii ya flat roof(picha)

Gharama za fundi Kupaua nyumba hii ya flat roof(picha)

Kitumburee

Senior Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
142
Reaction score
88
Nawasalimu wanajamvi.
Nimejenga nyumba yangu mitaa ya Goba Dar es salaam, yenye ukubwa wa sqm 340, Pesa zenyewe nimeungaunga kweli ujenzi ulianza tangu 2015 mpaka sasa ndio nataka kupaua. Nimefika hatua ya kupaua ila napata kigugumizi kila fundi ananipa mahesabu tofauti na gharama tofauti. Nilishauriwa kujenga flat roof ili nipunguze gharama za kupaua ila naona gharama ninazopewa na mafundi zimezidi hata baadhi ya waliopaua patched roof
Swali langu kwenu ni;
1. Makadirio ya vifaa
2. Malipo ya ufundi

Nimeweka picha ya paa na ramani

20210125_233556.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210128-113837_Gallery.jpg
    Screenshot_20210128-113837_Gallery.jpg
    115.6 KB · Views: 65
Mkuu
Una boma😂
Shusha drone 📷 , upige picha kwa karibu ,
Zingatia
Horizontal view
Vertical view
Oblique view

Utapewa makisio sahihi...
🚶
 
Mkuu
Una boma😂
Shusha drone 📷 , upige picha kwa karibu ,
Zingatia
Horizontal view
Vertical view
Oblique view

Utapewa makisio sahihi...
🚶
Si unajua siku hizi drones zinakatiwaa kibali 😔 sina... hii nyumba hadi ilinikatisha tamaa. Alienichorea ramani alinipeleka chaka. Nilitaka nyumba ya gharama nafuu ila 🙌🙌🙌🙌
 
Si unajua siku hizi drones zinakatiwaa kibali 😔 sina... hii nyumba hadi ilinikatisha tamaa. Alienichorea ramani alinipeleka chaka. Nilitaka nyumba ya gharama nafuu ila 🙌🙌🙌🙌

Mmh!
Kwa kuwa ulisha Anza hakuna budi kumaliza ...
Ila Bora ujenge nyumba ndogo ya kueleweka na gharama nafuu

Kuliko ujenge hekalu lisiloisha , ligeuke machimbo ya mateja

"Picha ya jengo umepiga kwa mbali, huwezi pewa takwimu hapo
jaribu kuweka picha za karibu...
 
Watafute hawa jamaa wanaitwa Dutan Housing, huwa naona wakijitangaza sana kwenye ujenzi especially hizi nyumba wabongo mnaita "contemporary

Namba +255 755 033 525

"
Screenshot_20210128-122823~2.jpg
 
Si unajua siku hizi drones zinakatiwaa kibali [emoji17] sina... hii nyumba hadi ilinikatisha tamaa. Alienichorea ramani alinipeleka chaka. Nilitaka nyumba ya gharama nafuu ila [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Pole sana mkuu,
Niliwahi chorewa ramani kubwa nikasikilizia nikaona huu mzigo siuwezi, nikatafuta jamaa mwingine wa kunichorea finally nilipata hitaji sawa na budget yangu.

Majumba makubwa kwa sisi watu wa kawaida ni tatizo sana.... yupo boss wangu mmoja alibambikizwa jumba hajawahi maliza zaidi ya miaka 12. Na monthly anatake home zaidi ya 5M!!!
 
Pole sana mkuu,
Niliwahi chorewa ramani kubwa nikasikilizia nikaona huu mzigo siuwezi, nikatafuta jamaa mwingine wa kunichorea finally nilipata hitaji sawa na budget yangu.

Majumba makubwa kwa sisi watu wa kawaida ni tatizo sana.... yupo boss wangu mmoja alibambikizwa jumba hajawahi maliza zaidi ya miaka 12. Na monthly anatake home zaidi ya 5M!!!
Iko haja ya kujua vipimo.. maana kipindi nachorewa hata sikufuatilia vipimo. Ningefatilia nikajua huo ukubwa wa nyumba kwa kipindi hicho nisingeikubali hii ramani... ila baada ya kuanza ujenzi ndio nikashtuka. Too late
 
Mmh!
Kwa kuwa ulisha Anza hakuna budi kumaliza ...
Ila Bora ujenge nyumba ndogo ya kueleweka na gharama nafuu

Kuliko ujenge hekalu lisiloisha , ligeuke machimbo ya mateja

"Picha ya jengo umepiga kwa mbali, huwezi pewa takwimu hapo
jaribu kuweka picha za karibu...
Hiyo picha nimepiga ktk picha za ramani. Sina namna ya kupanda huko juu kupiga picha moja labda ningetumia drone😔
 
Kaza moyo kaka utamaliza tu. Great things takes time.
 
Nawasalimu wanajamvi.
Nimejenga nyumba yangu mitaa ya Goba Dar es salaam, yenye ukubwa wa sqm 340, Pesa zenyewe nimeungaunga kweli ujenzi ulianza tangu 2015 mpaka sasa ndio nataka kupaua. Nimefika hatua ya kupaua ila napata kigugumizi kila fundi ananipa mahesabu tofauti na gharama tofauti. Nilishauriwa kujenga flat roof ili nipunguze gharama za kupaua ila naona gharama ninazopewa na mafundi zimezidi hata baadhi ya waliopaua patched roof
Swali langu kwenu ni;
1. Makadirio ya vifaa
2. Malipo ya ufundi

Nimeweka picha ya paa na ramani

View attachment 1688074
Hebu wasiliana na kikundi cha UVIMO, ni wajenzi na wapauaji.

0753 961 896
0629 361 896
0753 927 572- Wasap

Chini ya UVIMO nasi tukupe makadirio yetu pamoja na ushauri.
 
Back
Top Bottom