mie natumia Gesi home. Nilinnua Oryx au..hapa karibu na Kamata Junction ya Msimbazi na Pugu Road/Nyerere Road...Nasikia sasa wamehama nafikiri nenda ktk vituo vya Mafuta pembeni.
Kg 15/16 wanauza 30,000 sasa zamani ilikuwa 25,000. Mtungi wana kukopesha 45,000/=,(kama unao no need kulipa hio nenda no mtungi wako wakujazie), Jiko nafikiri Bei yake inategemea na matumizi yako..inafika 35,000/= na kuendelea.regulator+pipe inaweza fika 20,000-25,000/=
Go ahead Gesi nzuri ila GHARAMA...Rafiki yangu alie Qatar ananiambia mtungi wa kg30-32 kama 20-30,000 ya TZ...price Bongo ni twice as much...Sijui Uzalishaji wa Songas umefikia wapi au tusubiri Gesi mpya ya MKURANGA...