mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
Bei za vyumba zinaanzia 35000 kwa mwezi. Arusha town...
Bandugu kwa anaejua gharama ya hostel za binafsi na vyuo kwa Arusha mjini au maeneo ya karibu na Arusha mjini anisaidie mwenzenu mgeni Arusha mwenyeji wa Dar nmepangiwa field Arusha ambyo ni kwa muda miezi miwili
Unakwenda field unataka kukaa hostel? Inamaana huna ndugu wala washikaji kabisa huko arusha? Ok subiri wajuzi wa mji waje.
mbna unakuwa kama mkude kijana field unapangiwa mkoa wwte inamaana wewe kila mkoa una ndugu ulafa huo
Bandugu kwa anaejua gharama ya hostel za binafsi na vyuo kwa Arusha mjini au maeneo ya karibu na Arusha mjini anisaidie mwenzenu mgeni Arusha mwenyeji wa Dar nmepangiwa field Arusha ambyo ni kwa muda miezi miwili
Asante kwa matusi kaka, nitaku PM namba ya mtu arusha atakusaidia
Mzee wa kismati hosteli inategemea umepangwa shule gani, ila nakushauri ripoti kwanza shule uliyopangwa headmaster atakusaidia kutafuta hostel au kukupatia chumba kulingana na uwezo wa shule husika. Kama upo sekta nyingine tofauti na elimu ripoti kwanza kituo cha kazi utapata maelekezo..
soma vizuri alicho andika, kasema field ya 2monthUnahitaj chumba au hostel? Hostel nying wanalipia kwa mwaka au semester, pia nyngne unakuta chumba kitupu
Mzee wa kismati hosteli inategemea umepangwa shule gani, ila nakushauri ripoti kwanza shule uliyopangwa headmaster atakusaidia kutafuta hostel au kukupatia chumba kulingana na uwezo wa shule husika. Kama upo sekta nyingine tofauti na elimu ripoti kwanza kituo cha kazi utapata maelekezo..