Habari wadau!
Nina mpango wa kuanzisha kituo cha television (entertainment) hapa nchini lakini sijui natakiwa niwe na mtaji kiasi gani.Tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipatia makisio ya juu ya gharama zote za kuanzisha kituo cha television amwage.
Naomba kuwakilisha.
Ahsanteni.
Nina mpango wa kuanzisha kituo cha television (entertainment) hapa nchini lakini sijui natakiwa niwe na mtaji kiasi gani.Tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipatia makisio ya juu ya gharama zote za kuanzisha kituo cha television amwage.
Naomba kuwakilisha.
Ahsanteni.