Habari za mida wadau.
Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc.
Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei.
Asante.