Gharama za kuchimba kisima cha maji baridi

Aminikweli

Member
Joined
Oct 2, 2015
Posts
5
Reaction score
0
Habari za mida wadau.

Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc.

Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei.

Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…