5M-7MNahitaji kufahamu ghalama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yanguView attachment 1803543
😂😂😂😂😂 Dah kabla sijafungua nikasema itakuwa floor pllan kali eh 😳😲 nilichokutana nacho 😂😂😂Nahitaji kufahamu ghalama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yanguView attachment 1803543
Ni ofisi inayohusu jamii? Kuna kundi la watu watashindwa kupata huduma hapo kwakoNahitaji kufahamu ghalama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yanguView attachment 1803543
hii nyumba itakuwa ya mhaya, na yeye alitaka asife kabla ya kumiliki gorofa.Nahitaji kufahamu ghalama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yanguView attachment 1803543
Nunua kontena mawelda wanakudizainia vzr tu kwa gharama kidogoNahitaji kufahamu ghalama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yanguView attachment 1803543
Nafikiri ungetoa mchanganuo;5M-7M
Utopolo au sio??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah kabla sijafungua nikasema itakuwa floor pllan kali eh [emoji15][emoji44] nilichokutana nacho [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni Container ( 20 feet ), bati na finishing ndogo ndogoNafikiri ungetoa mchanganuo;
1. Ms plates ngapi na bei yake
2. Kukuja hizo ms plates ni kiasi gani/pc
3. Mbao kiasi gani na bei
4. Roofing sheets ngapi na bei
5. Mengineyo
7. Ufundi pia
8. Grand total
UniquenessUtopolo au sio??