Gharama za kujenga nyumba ya kupangisha kwenye kiwanja hiki

Gharama za kujenga nyumba ya kupangisha kwenye kiwanja hiki

Rufaro

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
222
Reaction score
342
Habari za leo wajenzi.

Samahani, navutiwa au niseme nimevutiwa sana na ujenzi wa nyumba za kupangisha, zile zinazokaa nyingi kias ndani ya eneo moja.

Naomba kuuliza itanicost garama kiasi gani kwenye kiwanja chenye ukubwa wa square mita 800 kama nikiamua kujenga hivi, ndani ya eneo kuwe na unit 7, yaani chumba selfu, sebule, na jiko.

Nakaribisha maoni wajenzi. Asanteni
 
katika Compound moja kama ivo public toilet inaeza kuwa moja ambayo ni rarely kutumika maana ni hadi moja kati ya hizo nyumba zipate mgeni ambaye ndio mlengwa wa matumizi ya choo cha nje!!
Asante mkuu..naona ikiwa nje itakua bora zaidi
 
Katika Compound moja kama ivo public toilet inaeza kuwa moja ambayo ni rarely kutumika maana ni hadi moja kati ya hizo nyumba zipate mgeni ambaye ndio mlengwa wa matumizi ya choo cha nje!!
Wazo zuri
 
Mimi Nina fundi kwa unit moja atakujengea kwa laki chache tu, Ni PM nikupe no yake.
 
Habari za leo wajenzi.

Samahani, navutiwa au niseme nimevutiwa sana na ujenzi wa nyumba za kupangisha, zile zinazokaa nyingi kias ndani ya eneo moja.

Naomba kuuliza itanicost garama kiasi gani kwenye kiwanja chenye ukubwa wa square mita 800 kama nikiamua kujenga hivi, ndani ya eneo kuwe na unit 7, yaani chumba selfu, sebule, na jiko.

Nakaribisha maoni wajenzi. Asanteni
Nimeiona fb nikaipenda. Ni nzuri kwa wapangaji, nami nimeanza kuifanyia kazi.
 

Attachments

  • FB_IMG_1678098600270.jpg
    FB_IMG_1678098600270.jpg
    40.8 KB · Views: 77
Back
Top Bottom